Monday, May 30, 2011

UNICEF MPOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!

Huyu Mwalimu anatouti gani na Osama Bin Laden? Eti hii ni adhabu amebuni. UNICEF mpoooo.

POMBE SI MAJI.

[pombe_si_maji+(3).jpg]


  
[pombe_si_maji.jpg]

   

[pombe_si_maji+(1).jpg]
 

UMEWAHI KUONA NYUMBA INAYOHAMISHIKA?

Kwa nje muonekano wake ni kama hivi

Wanafanya marekebisho madogo madogo kwenye nyumba hii yenye matairi na inayohamishika.

Huu ndiyo muonekano wake wa ndani ambapo inaukubwa wa vyumba viwili, maliwato, bar, movie room ikiwa sceen yake ina ukubwa wa inch 100 marumaru ofisi ya wasaidizi wake, na master bed room.

  Hapa nyumba imefika inapostahili kufika.







HUYU NDIYO DOGO ANAYELIPWA MKWANJA MREFU HOLLYWOOD.

Jaden Smith wa kwanza kushoto akiwa na dada yake Wllow Smith mama yao Jadah Pinket Smith pamoja na Will Smith. Jaden ndiye mtoto anayelipwa mkwanja mrefu Hollywood katika fani ya uigizaji ambapo analipwa kiasi kisichopungua dola milioni mbili katika sinema ya The Karate Kid aliyocheza kama mhusika mkuu. Hata hivyo filamu hii ni ya tatu kucheza ambapo ya kwanza iklikua ni ile ya The Pursuit of  Happyness alishiriki sehemu ndogo akiwa na baba yake Will Smith. Mbali na uigizaji pia ni mwanamuziki ambapo ameimba wimbo ujulikanao kama Never Say Never aliouimba na Justin Bieber. 

JADEN SMITH

Sunday, May 29, 2011

HAWA NDIYO WANAMUZIKI MATAJIRI DUNIANI.

SEAN DIDDY COMBS - P-DIDDY (DOLA MILIONI 475)

 
SHAWN COREY CARTER - JAY Z (DOLA MILIONI 450)

 
ANDRE ROMELLE YOUNG - DR DRE (DOLA MILIONI 125)

 
CURTIS JAMES JACKSON III - 50 CENT (DOLA MILIONI 100)
BRYAN WILLIAMS - BIRDMAN/BABY (DOLA MILIONI 100)

JAMANI HIVI VIDOLE VYA MKONO AU VYA MGUU?

Hembu tazama vidole vya jamaa huyu halafu useme  kama akipata kazi ya kupiga kinanda ataweza kweli? Maana vidole vyake vina ukubwa usio wakawaida hii simu unayoona anaongea nayo alibonyezewa na mtu mwingine yeye akapokea tu. Kidole chake kimoja kina ukubwa wa vidole viwili vya ukubwa wa kawaida, hivi hata Internet Cafe anaingia kweli!! Vidole vyake akibofya keybord, vinabofya vitufe viwili kwasababu ya ukubwa wa vidole vyake.

"WACHA TUONBESHE UPENDO WABAYA WAULIZANE"

"Mpenzi Mungu kakupendelea maana daah!!"

"Mpenzi nko hapa lakini moyo unanidunda ile mbaya,  huna mpenzi kweli hapa?"

"Mapaparazi nao wasikuone unakula bata na mtu wako"

Tuone kama na huku mtakuja maana hampitwi na kitu nyie.


"Jamani nasikia raha sana mwenzenu"

"Kweli nme enjoy sasa tuondoke mpenzi wangu"

"Itabidi tukitoka hapa ni moja kwa moja mpaka Lodge au sio mpenzi wangu?"

"Nyie Paparazi vipi? Nimechukua chenu? mbona mnanifuatila hivyo?"

"Shosti hapa si pa kukaa kabisa hembu waone wanavyotufatilia"

"Mbona Shemeji simuoni? au ndiyo alienda kuwaita hawa Paparazi?"